huo mfumo wa kuwa na msaidizi mgongoni mwenye sare za jeshi ni utaratibu wa Uongereza na mataifa ya Commonwealth (yaliyowahi kuongozwa na Uingereza). Kw hyo kwa kuwa mataifa mengi ya dunia ya tatu yaliongozwa na Uingereza hasa Africa utadhan marais wanaokuwa na ma-ADC ni yale masikini. Google...
udsm siku hizi kuna kozi inaitwa B.A Law Enforcement. Ni shahada inayohusiana na masuala ya Ulinzi na Usalama. Miongoni mwa masomo yanayofundishwa ni INTELIJENSIA
KWANINI MBOWE ANAPASWA KUCHIA UENYEKITI!?
1. Ni mbinafsi, sidhan kama kipindi chooote hakuwahi kuona viongoz shupavu akawaandaa kushika nafasi hyo.
2. Yeye ndo anafanya watu wawe wasaliti kwa kuwa hataki kuandaa mazingira ya wengine kushika cheo hicho.
3. Uwezo wake wa kitaaluma ni mdogo sana...
Utakatishaji wa fedha kiujumla ni kitendo cha kufanya fedha au mali yoyote iliyopatikana kiharamu ionekane ilipatikana kihalali kwa lengo la kuficha uhalisia wa namna ilivyopatikana ili kukwepa mkono wa sheria.
Pia pesa yenye lengo baya kuifanya ionekane ina lengo zuri ni utakatishaji, kwa...
huyo ni mtu mmoja. sema sahihi yake imetofautiana ukubwa. ila ni moja tu hakuna tofaut. na hauwezi kusema kuna fake hapo labda ungeleta barua zenye contents moja ila sahihi tofauti
Kwanza elezea ndoa mnafungia wapi, kama ni nchini kwa binti basi hapaswi kuwa na passport kabla ya ndoa. Lakin kama mtafungia Tanzania atalazimika awe na passport ya nchini kwake itakayomruhusu kuingia nchini. Halafu suala la mke kuwa raia sio automatically isipokuwa mlolongo sio mrefu, baadhi...
Nimepitia kwa umakini huo uzi. Nimetafakari na kupima tuhuma dhidi ya MAGUFULI binafsi naziona hazina madhara makubwa kwa Taifa kwa kiwango cha kufanya asiwe Mgombea.
Pili nimeshangaa sifa ambazo wapambe wa Lowassa huzitaja kwamba zinampa Lowassa ubora MAGUFULI anazo kwa kiwango cha kutosha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.