Mwl Nyerere aliota na kuishi ndoto na Tanzania anayotaka kuwaachia wajukuu na vitukuu hadi vilembwe vyake. Ni kweli kama tungekimbilia ubepari na kuachana na dhana ya ujamaa tusingekuwa hapa tulipo? na je hivi matamanio ya mwl hayatekelezeki bali ninadharia tu?? Ukiwa kama mtanzania unafikiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.