Changa la macho, ile sms waloikuta kwenye simu yake huyo anayejiita mkenya inaonekana ilikuwa ni movie fulani kwamba 'nimefika najaribu kuwazoea'.
1.Huenda wameitengeneza wapelelezi wa sakata hili lililofanywa na wendawazimu walomjeruhi Dr Ulimboka
2. Kama kweli ni jambazi sijaona kama...
Nadhani ni vizuri ukafahamu kama kweli ma Dr si wazalendo ukilinganisha na makundi mengine, pia mazingira wanayosoma hao madaktari wetu je yanawajengea uzalendo? Mwaka ulopita tumeshuhudia wanachuo wa IMTU wakisuguana na Uongozi wao kwa sababu ya ada kubwa wengi wao wakishindwa kuendelea na...
Nadhani ni vizuri ukafahamu kama kweli ma Dr si wazalendo ukilinganisha na makundi mengine, pia mazingira wanayosoma hao madaktari wetu je yanawajengea uzalendo? Mwaka ulopita tumeshuhudia wanachuo wa IMTU wakisuguana na Uongozi wao kwa sababu ya ada kubwa wengi wao wakishindwa kuendelea na...
Serikali haiwezi kuathirika, watakao athirika ni wa Tanzania kwani ndo wahitaji wakuu wa huduma. Serikali itaathirika pindi wa Tanzania haohao watakapoamua kutowarudisha madarakani kwa kutohakikishiwa huduma zao muhimu kama Afya, Elimu, Maji na huduma nyinginezo.
Nchini Afrika ya kusini wana uongozi bora, kuweza kuhudumia wana nchi wake kwa huduma muhimu ikiwemo Afya. (Hospital nzuri zenye vifaa na dawa za kutosha, pia wanawajari wahudumu wa afya pia) Mungu atusaidie kuwa na viongozi wenye kutoa maamuzi yenye hekima na busara kunusuru maisha ya wa Tanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.