Unajua nn ukitaka kuona raha kwenye mahusiano kuwa mkwel tu hata kama utatembea na watatu kwa nyakat tofaut mueleze atakaye kuja coz uspo mwambia akija kubain hato kuwa na iman na ww kama mwanzo
Yap..! Bro pole sana bt ndo hali arisi, kikubwa embu tulia vuta pumzi kidogo kujua kama yule jamaa aliye kuwa na gar kunalolote lnalo endelea..! Najua utaupa moyo wako kaz nzito ila nikatika kutafuta sehemu utakayo pata furaha, then kama utagundua lolote sasa utaangalia kama kuna uwezekano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.