Napigia mstari hapo, HIZI DAWA ZINAPUNGUZA UNENE AU UZITO?
Halafu, kama nina kilo zangu 40,na ninaziona ni nyingi kwangu, nataka nipunguze kilo 2 au 3 dozi inakuwaje? Maana unasema zinapunguza kilo 4 tu kwa mwezi! Na kama nina kilo 200 si nitameza dawa za duka zima!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.