if u cant convice them, comfuse them. the government has failed to convice us now is trying to find the way can confuse us. join together to fight against this kind of oppression towards our doctors. solidarity forever
re. wizi ulipangwa hazina.
ni hatari kuona kiasi kikubwa kama hicho cha fedha kinatoeka ktk mazingira ambayo maofisa wa serikali wanahusika. ni vyema wangehifadhiwa kwanza(jela) then uchunguzi ikaendelea.
siamini kama mahakama yaweza kuwa suluhisho zaidi ya kuendeleza ngonjera. hapa tuungano sote kama ndugu kuwaombea ndugu zetu waliolazwa hospitaali wapate ahueni.
Ni wiki mbaya kwa watanzania wenzetu wanaoishi tanzania visiwani kutokana na vurugu zinazoendelea. Imefika wakati sasa swala hili lichunguzwe kwa umakini je, kuna makundi ya wanaharakati ambayo hayataki muungano, au kuna viongozi wanatumia wanaharakati kuukataa muungani au ni wazanzibar wote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.