Hiyo ni Mila yakawaida kwa waafrika wengi.Wahaya wasukuma mashubi waganda wanyankole etc ni mambo ya kawaida kupiga goti hasa kwa mkuu au mme.
Kumbuka mila na desturi zinatofautiana kadri ya kabila na kabila.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.