Nafikiri suala la muungano halikuzingatiwa hapa ila kilichoangaliwa zaidi ni taaluma aliyonayo Dr Mwinyi na mhe President anaamini atafit zaid katika wizara hiyo ya afya kuliko ile ya ulinzi so suala la muungano halihusiki kwa hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.