Waislamu katika historia yao, yupo msomi wao mmoja alikuwa anapinga sana modernism( mambo yote ya maendeleo). MI 6 imedakia mafundisho yale, ndio unaona hawa terrorists ( kina Osama bin Laden) wanachukia sana maendeleo MI 6 ni British Intelligence. Hawa terrorists wengi ni creation ya British...
Wale wanalinda Presidential Palace. Kesho naweza kuweka detail kidogo. Lakini ipo contingent katika Umoja wa Mataifa, na askari wengine, jw, wapo pale specifically kumlinda Kabila.
Alikuja mpanda baiskeli Mfaransa nyumbani kwangu. Anatafuta mahali pa kulala. Nikamwambia aende hotel I. Anasema,"No money"
Nilikuwa na gf. Yule gf akaniambia, huyu jamaa nimemuona kwenye gazeti Leo. Anazunguka dunia na baiskeli. Nikasema,"Mhhh?. We we, karibu ndani. Utalala hapa mpaka kesho."...
Katika huh uongozi wake tumeishi kwa amani Tanzania.
Lakini sasa Mimi nashangaa kuhusu utitiri wa viongozi wa Upinzani ambao wapo Mahakamani. It seems to me to be so unnecessary, halafu ni waste ya financial resources.
Mbunge anatakiwa kukamatwa kwa kosa kubwa.
Unajua makosa wanayofanya Wabunge...
Yale mambo yalizungumzwa kwenye kikao cha siri halafu yakavujishwa.
Hata sidhani mpaka leo kama anajulikana aliyeyavujisha.
Tusijiingize katika politics za Marekani na kukomenti mambo tusiyoyajua.
Kule kuna " America First" politics kwanza Africa does not exist.
Nilikwenda Singapore nikaulizwa...
Mateso waliyopata kutoka kwa vikundi vinavyopigana kuipinga Serikali.
Bila kufsfanua zaidi au labda this is self- explanatory.
Kuna kazi kule DRC. Security Council inataka kumuondoa Kabila lakini JWTZ inalinda Presidential Palace.
Ndio Atlantis imezama pale. Itainuka kama ilivyozama ikitokea world war three. Masayantisti wanapopita pale, they can detect it with their instruments.
Indeed watu watanyukana kwa makusudi, kwa sababu wanataka kuiinua Atlantis, kwa sababu kuna habari pale kuhusu intergalactic travel.
Nilikuwa napita Mjini( Dar) leo nikawaona jamaa wamebeba benders nyingi za Chadema, wanaziweka kila pahali. Mmoja wao anasema"Yule jamaa, amejiunga na CCM ati sasa anataka arudi Bungeni! "
Wabunge wa Upinzani, they are courting controversy. Wana kiu ya kwenda Mahakani. Wana tabia ya wanawake ya kupenda kesi, kupenda mashahidi kuitwa, kupenda kujitetea, kupenda debates and argument, kupenda kila kitu kuhusu Mahakama. Tabia ya wanawake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.