Jaman c tuuvunje au kila m1 achukue 50 zake tubakie na tanganyika na wao wabakie na visiwa vya zanzibar kwan luna nn cha maana katika hili kufikia watu kulilia kuuvunja.......mm
hawa jamaa hawana ata ubinadam sababu wenyewe pia haoni maisha yao yalivo magumu wanaishi kwa salary ya 180000 hawastahiki kupata iyo ka serikali makin wanayoitumikia wawa adhibu kwanza wanao wanyonya na co kuwapiga wananchi wanaotambua haki zao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.