Kama alikufa mmoja kwa Anaemia ina maana hamna thorough check up ya afya kila wakati kujua kwamba hawa watu wako fit kiafya au la?
Tatizo la hawa wanajeshi wa siku hizi ukurupukaji umewazidi no discipline no what. Nao wamekuwa wanasiasa tu
Unajua sisi kama ACT-Tanzania chama makini kabisa cha kupambana na CDM tumejipanga ukanda wa Kigoma, Rukwa, Katavi, Tabora n.k ili tujidadavue kwamba sisi ni wa ukanda huu halafu CCM wataanza kutugeuka kwamba sisi ACT ni chama cha Magharibi a.k.a cha cha Waha na kuipakazia CDM ni chama cha...
Muafrika ameletwa duniani ili atawaliwe milele na mzungu.
Mtu mzima amepewa kila kitu lkn bado hawezi ku-manage rasimali na maisha ktk nchi yake.
Poor idiot watawala wanaotawaliwa
Nadhani serikali imeona watu wanatakiwa wapate mivinyo ya kienyeji zaidi kwa sababu walishasahau siku nyingi.
Hiyo kodi wataisikia, ndani ya three month to come TBL watakuwa wamepata picha halisi.
TBL funga kiwanda, SBL funga kiwanda.
Mwigulu hana chanzo kingine cha kodi, poor Wahuni Watawala
Huyu sita ni mpuuzi haswa, yaani haelewi ni wapi walipokosea kwahiyo Ukawa waende wakawaambie walupokosea ili wajirekebishe??
Sita atakuwa amekuwa kichaa tena cha dogi.
Kama hajui wamekosea wapi ana maana gani ya kuwa pale??
Awaache UKAWA washughulikie kila kitu kwa sababu wao hawajiwezi tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.