Wapeleke majina yapi? haukumbuki kuwa CHADEMA walisema hawahitaji nafasi hizo na hawatambui matokeo yote ya uchaguzi. ninachokishangaa sasa baada ya matamshi hayo wenzao wakatumia hiyo fulsa kuingia Bungeni wakasema wamewafukuza uanachama na kwa sasa hivi hao akina H.Mdee sio wanachama wa...
Uwakilishi upi unao uulizia? Wabunge waliopo Bungeni wanatuwakilisha sisi wananchi, wale wa kuchaguliwa kwenye majimbo wanawakilisha Majimbo yao na sisi wananchi na hao wengine wa Kuteuliwa na Viti Maalum wanatuwakilisha sisi wananchi tatizo lipo wapi?
CHADEMA watajikuta hadi tunafika 2024 wao wanapambana kutaka wakina HALIMA MDEE wafukuzwe Bungeni huku mambo ya msingi ya kuimalisha chama na kujipanga kwa uchaguzi Mkuu ujao wakiyasahau na kujikuta wanashindwa vibaya kwenye uchaguzi na kuendelea kulalamika huku ni wenyewe waliosababisha hayo...
Mkuu Paschal nimekusoma vizuri sana kwa ulichokiandika ingawa baadhi ya watu wenye uelewa mdogo wanakutukana.
Katika ulichokiandika nipende kuongezea tu kwa CHADEMA ni kuwa hiki wanachokifanya wasifikiri wanakiimalisha chama nionavyo mimi wanajimaliza wenyewe huku wakijua au kutokujua kwani...
Kwa hiyo kama alikosea kipindi kile ndio afanye kosa hilohilo na kipindi hiki? Ninachokiona wengi humu mnaandika kwa mihemko bila kutafakari kwa kina juu ya issue hii.
Lakini pia ukae ukijua kamwe hauwezi kuwa maisha mazuri kama wanayoishi akina Mbowe utaendelea kuishi maisha ya hovyo kama uliyo nayo sasa hadi utakapokufa.
Duhh!! hivi kumbe Gwajima bado ana waumini wanaomwamini na kupoteza muda wao kuhudhuria kwenye kanisa lake? Hapa ndipo ninapoamini kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi 10 za mwisho Duniani kwa watu wake kuwa na uwezo mdogo wa kufikiri yaani low IQ kutokana na tafiti mbalimbali zilizofanyika Duniani.
Nimewaza sana, hivi kwa hii kauli ya kuwa watu walitoroka na na kwenda kuchanjwa na sasa inawaletea matatizo anawazungumzia wakina nani? tumeshuhudia na kusikia kuugua na hata vifo vya watu maarufu na viongozi wakubwa waaliopo madarakani na waliokwisha staafu na kiuhalisia ili kupata chanjo hiyo...
Ninachokiona yaani mwaka huu Jan 2021 hadi sasa Ndugu zetu wenye asili ya kiarabu wamefariki wengi sana na karibia wote chanzo cha vifo vyao vinafanana wanaugua ghafla kwa dalili zilezile na wanafariki ninajiuliza kulikoni?
Vipi kuhusu Cecill Mwambe wa kule kusini katika Bunge lililopita? je Ndugai aliporuhusu aendelee na Ubunge wake huku akiwa sio mwanachama wa CHADEMA kuna sifa yeyote aliipoteza? kuendelea kuyajadili haya huku tukijua wazi hakuna kitakachofanyika ni kupoteza muda tu ni vema tukajikita kupambania...
Hata kama tunakichukia chama fulani kwa sababu tu wewe ni mshabiki wa chama fulani Ubinaadamu na Uungwana ni kitu muhimu sana na ni vema tukatambua kuwa mara nyingi 1. MANENO UUMBA 2. KABLA UJAFA HAUJAUMBIKA 3. MALIPO NI HAPAHAPA DUNIANI. sasa wewe unayeandika hivi kwa kujiona tu umzima bila...
Tambua kuwa Lowasa hakushindwa bali alitekeleza makubaliano yao ya kuhakikisha CCM inaendelea kutawala kwa kujifanya kukubali matokeo ambayo kiuhalisia alikuwa ameshinda na ndio maana zoezi la kuhesabu kura lilikuwa ni la ajabu ajabu kama ulifuatilia vizuri.
Wewe tangu nimeanza kukuona humu na kusoma unayoyaandika haujawahi kuandika kitu cha maana chenye uwezo wa kulikwamua Taifa na umasikini au hata kukusaidia wewe na familia yako na dhiki zinazoiandama na nina uhakika kama una familia yaani mke na watoto basi unadharaulika sana na familia yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.