Tahadhari. Wakazi wa morogoro mjini, leo kuna wezi au matapeli wanatumia namba za voda zifuatazo. 0753663502 ambayo imesajiliwa kwa jina la William Lukuvi na 0764565170 ambayo imesajiliwa kwa jina la Ally Lufunga. Huyu ally anaiba kwa kudai kuwa mh William Lukuvi anataka kumtumia pesa lakini...
Tujadili swali hili dogo. Kabla sijaliweka ieleweke kuwa mimi ni mojawapo ya wanaoamini kuwj Dr Slaa alishinda uchaguzi mwaka 2010. Pia naamini kuwa kama atagombea 2015 atashinda. Tatizo ni kuwa magamba yana dalili za kuendelea kuwa majority bungeni. Kama leo Slaa angekuwa rais, wabunge wote wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.