Nimesikiliza kwa umakini hotuba ya dokta slaa, pamoja na kwamba kila mtu ana uhuru wa kuongea.. Je kutoa siri za ndani za chama alizopata by virtue of his position ni uadilifu??
Tanzania need to be reborn, we have a lot to fight against and not ourselves.,
Stop the Muslim/Christian thing for it does not help us..
I BELIEVE IN CHANGE, I AM A CHANGE.. we are Tanzanians' and this is our country, together we can...
This always makes me sick, kwa nini kila siku ni nyinyi tu... kwani mpo peke yenu? mbona hatusikii wakristo wakilalamika kudai attention like what you people are doing daily? Sensa ya udini tena ili iweje? mnataka kujua idadi ya waislamu, ili iweje? if that is important to you si mfanye wenyewe...
Watu kama nyie ndio mnasababisha nchi yetu isiendelee sababu ya akili zenu zilizodumaa, nani alieweka hiyo mipaka???!! bado unatawaliwa na sultan?? kumbe bado mpo watu wenye akili za kitumwa mpaka leo..
remember whatever happen, the people concerned will be the one to make decisions as to which...
The time has come for our leaders to shape their thinking, perceptions and motives., they have to understand that being a leader means you are a servant.. You are there to serve the citizens (members of public. The point of citizens crying and the leaders are doing nothing, enriching...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.