mh. mbunge umuhimu wa waziri mkuu ni uwajibikaji kwa wananchi, lakini kama anaona macho tuu kama mtazamaji hatufai hata kidogo pamoja na raisi wake. tulifikiri wabunge vijana kama wewe damu changa ungechukua maamuzi magumu kama mh. mbunge filikujombe wa ccm mwenzako. kumbe huna maamuzi, ujue...
kwakweli nawapongeza sana wananchi waliotuchagulia mbunge zito, maana kazi yake tunaiona. na inafaa tuingize maoni ya mabadiliko ya katiba ili kipengele cha umri kirekebishwe ili vijana kama hawa wasaidie nchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.