Ladies - white, pink, red, violet etc. Kama ni dada mweupe sana, rangi nyeusi pia inanipa mzuka. Kwa wanaume sijui....labda wadada watuambie! Binafsi sipendelei hot colours wala nyeupe.
Ndio maana nimetumia neno "ushirikiano"! Sote tunajua kunaweza kuwepo dharura au udhuru......lakini sifikirii kama kwa mtu wa namna hiyo atoatoa jibu kama "sitaki" kwa karani.
Nafikiri unachukuliwa umekataa kuhesabiwa pale karani wa sensa anapokuja nyumbani kwako wakati ukiwepo lakini ukakataa kumpa ushirikiano........hata kama muda wa zoezi zima haujesha!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.