Acheni fitna na majungu kwani yeye ameenda kutembea kule au amekwenda kikazi lazma mtofautishe ziara ya kikazi na binafsi. Msikalie majungu tu kumsema vibaya Rais wa nchi huko ni kukosa heshma tena inawezekana hata wazazi wenu hamna heshma nao kama mnafikia kusema maneno hayo sidhani kama...
Kutumia kigezo kuwa serikali haina dini sio suluhusho la msingi, acheni jamani kujadili mambo msiyokuwa na elimu nayo hebu fanyeni uchunguzi UK,S,AFRICA, na nchi zingine ambazo watalaam wetu wa sheria walitumwa huko kuangalia utendaji wa mahakama ya kadhi mbona mnakua na khofu kubwa sana wakati...
Lazma unapojadili mada uwe na mifano hai sio kukimbilia ushabiki , Kuhusu Iran nadhani hufuatilii habari kwa umakini yeye Irani amesema anatengeneza Nyuklia kwa maslahi ya Taifa lake hasa upande wa uzalishaji . Sidhani kama unaushahidi kua amesema atalifuta taifa la Israel? ila navyoelewa mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.