Search results

  1. M

    Masha atoweka na samani za ofisi ikiwemo picha ya rais!

    Hiyo inadhihirisha maana halisi ya ARI ZAIDI, KASI ZAIDI, NGUVU ZAIDI...... Kibwagizo........... Wizi zaidi, Ufisadi zaidi, Utapeli zaidi, Usanii zaidi...
  2. M

    Elections 2010 Waraka wa Lowassa kwa vyombo vya habari

    Hawezi kumpeleka Mahakamani kwa sababu akienda huko anaenda kufa kwa ugonjwa wa moyo....
  3. M

    Elections 2010 Waraka wa Lowassa kwa vyombo vya habari

    Maisha bora yatakuwepo kwa wale wenye NACHO ..... yaani matajiri wakubwa wanaokwepa kulipa kodi na wanaifadhili CCM... Sisi wengine ni maumivu kwenda mbele
  4. M

    Elections 2010 Waraka wa Lowassa kwa vyombo vya habari

    Mwalimu Nyerere alimuuliza, wewe Edward (Lowassa), mali zote hizi umepata wapi?
  5. M

    Elections 2010 JK na 61% victory, ushindi wa tsunami au katrina?!!!

    Huu ni ushindi wa VITISHO, RUSHWA na UCHAKACHUAJI.....
  6. M

    Elections 2010 Jamani nagombea ubunge Babati Mjini kwa tiketi ya CHADEMA 2015

    Nakushauri uwe FIT..... maana unaweza kuchakachuliwa na hali ikiwa TETE utajikuta umelazwa baada ya kuangushwa kwenye uchaguzi..
  7. M

    Elections 2010 Slaa ameshinda kwa 48%, JK 26%, Lipumba 15% On level field (2010)

    Kwa hesabu jinsi zilivyo, UCHAGUZI HAUPO KAMA ALIVYOSEMA SHEIKH YAHYA HUSSEIN...... Mnajimu mashuhuri wa CCM
  8. M

    Elections 2010 Hivi CCM si wangeweka tu alama ya mzinga au bunduki kweye bendera yao tuu

    Wataweka tu wewe subiri JK azidi kuongeza Wanajeshi wastaafu kwenye Mawaziri, Manaibu Mawaziri, Makatibu wakuu, Mabalozi nje ya nchi na Makatibu wakuu wa Mawizara....
  9. M

    Elections 2010 Tutegemee nini kutoka kwa jk?

    Tutegemee Cabinet yake watakuwemo Wakuu wa Mikoa na wilaya kujazwa Wanajeshi wastaafu toka JWTZ .... ili wananchi wakileta maandamano na manung'uniko ni kupelekwa jeshini kupata adhabu za kijeshi toka kwa MP (Military Police).... Vile vile bila kusahau kurudishwa kwenye uongozi mafisadi...
  10. M

    Elections 2010 Hongera Liutenant Colonel (Retired) Kikwete

    Unamshusha cheo.... Ni Colonel Mstaafu wa JWTZ, sambamba na Mwenyekiti wake wa kampeni za CCM Kitaifa, Raia wa Somalia, Colonel Mstaafu wa JWTZ Abdulrahman Kinana, bila kumsahau Katibu Mkuu mwenye porojo nyingi, Luteni Mstaafu wa JWTZ, Yussuf Rajab Makamba....
  11. M

    Elections 2010 Matokeo ya mwisho: JK aambulia 61.17%

    Sheikh Yahya alisema uchaguzi hakuna, inawezekana kweli ukarudiwa baada ya wateule kuaga dunia au kupingwa mahakamani. Tusishangae majimbo yote walioshinda CCM, wapinzani wakaenda mahakamani
  12. M

    Safari ya Andrew Chenge kuwania Uspika wa JMT

    Jamani na bado Mheshimiwa Edward Ngoyai Lowassa anakuja kuwa Waziri Mkuu wenu..... Tutakoma kuringa! Masha, Batilda, Diodorus Kamala, Phillip Marmo watakuwa wabunge wa kuteuliwa kwenye nafasi 10 za Rais
  13. M

    Bunge Jipya: CHADEMA yapaa, CCM yaporomoka!

    Na bado kuna majimbo mengine watachukua.... Nkenge, Mpanda Mjini, Mpanda Kati. Achilia mbali yale yatakayotenguliwa na Mahakama kisha uchaguzi mdogo kuitishwa
  14. M

    Elections 2010 Waraka wa Lowassa kwa vyombo vya habari

    Tetesi na Radio Mbao zinasema Edward Ngoyai Lowassa atakuwa Waziri Mkuu mpya na Andrew Chenge atakuwa Spika wa Bunge.... Je tutapona hapo??
  15. M

    Elections 2010 NEC yakiri ilikosea matokeo ya Geita

    AKILI wanazo sana, ila zikizidi ndio hapo mambo yanakwenda ndivyo sivyo.... kwani ndege mjanja unaswa kwenye tundu.......
  16. M

    Elections 2010 Ubunge segerea

    Yap ni kura za wizi mkubwa.... Huo hauitwi ushindi ni KUFURU
  17. M

    Elections 2010 Respect poll outcome for peace - EU

    ...Ukijulimsha na zile zinatokana na watumiaji wa simu basi itakuwa ni balaa kweli!
  18. M

    Elections 2010 Utawala wa Jk 2010-2015

    Duh kaaaaaaaaaazi kweli kweli hapo WATANZANIA wengi watakufa kwa BP...........
Back
Top Bottom