mambo aloyaficha mbona EL alishayasema kwa kikao cha chama huko dom! na isitoshe Mwakyembe ni dr. wa sheria kwa iyo mikataba siyo kitu kigeni kwake so jipange na upunguze dharau.
kwaiyo unataka wakakope bank ili ktatua matatizo ya watz nenda jimboni kwake upate mchanganuo wa matumizi ya mfuko wa jimbo alafu ndo urudi na mipasho yako.
kuhusu posho mh.spika alitolea ufafanuzi kuwa mbunge yeyote ambaye hataki kupokea posho aandike barua aseme posho yake anataka iende kwenye mfuko gani lkn sio matumizi ya gari Pinda nae si alikataa gari jipya lkn sheria zilimbana na ana2mia cha msingi ni sheria zirekebishwe.
hapo umenena mkubwa bila Lowassa kumsaidia huku 2nakoelekea ni madudu matupu tatizo Pinda anamuogopa na hawezi kumwambia hapa umekosea fanya hivi mwenye jeuri hiyo ni Lowassa.
kilichonichosha zaidi ni kumpa Kigoda wizara ya viwanda huyu bwana tangu enzi za mkapa ni madudu ma2pu bwana Mwandosya ashajizeekea mpk basi lkn bado anamweka2 eti 'waziri asie na wizara maalum' huyo Selina Kombani ndo kamtwisha U2mishi atauweza?? Sina imani na washauri wake km sio washauri bac...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.