Tusidanganyane wala kudanganywa Russia 🇷🇺 sio Libya 🇱🇾. Kabla Russia haijarabishwa mchanga kama unavyotaka kutuaminisha litatokea balaa kubwa zaidi kuwahi kushuhudiwa Duniani. Tuombe Mungu hii vita ishee isielekee kwenye point of no return between superpowers. Hakuna anaweza kusimama na Russia...
Nchi gani duniani mkimbizi anakaa hotelini kwa gharama za nchi hiyo. UN wachukuwe hawa watu kwenye kambi za wakimbizi. Hata Poland hawajaweka mtu hotel sisi hiyo hela tunatoa wapi?
Hebu tuacheni kujikomba kwa hawa watu
Ndoto yako ni ngumu
Ila uwepo vitu kama rungu, nyundo na mti mkubwa ni ishara ya utawala au mamlaka
.Ndoto Inategemea nani anaota ndoto moja inaweza kuwa na maana tafauti kutegemea na mtu aliota.
Km wewe ni mtu una mamlaka ya kufanya maamuzi jiandae na mabadiliko utakapo hisi umewashinda adui...
‘Ninamsifu Yehova, Mfalme wa mbinguni. Sasa ninajua kwamba Yehova ndiye Mtawala. Anawanyenyekeza wenye kiburi, na humpa yeyote yule amtakaye ufalme huo.’
Rabda utufafanulie mwenyeji ni yupi?
kama jamii ina miaka 300 bado hajawa mwenyeji?
Kama wenyeji ni waafrika weusi basi ndio 80% ya wazanzibari kama sio zaidi,kuna hofu gani kuitisha kura ya maoni wakaamua hatma ya Nchi yao.
Je Jumbe alitaka serikali 3 ni muarabu wa Qatar 🇶🇦 ,Oman au Yemen 🇾🇪...
Watu waliofika Zanzibar 1734 kwa maneno yako Unawaita watu wa kuja tu Yaani ilipofika 1964 waliokua na miaka 230.
.tukiaza hivyo hata wewe usikute ni Mrundi au Mnubi wa central Africa
Kwa taarifa tu sultan Jamshid mama yake ni Mmanyema.
Alie kuwa waziri mkuu aliepinduliwa ni Mpemba wa asili...
Sio sahihi
Bunge likipata 2/3 ya bara na Zanzibar muungano unavunjika Tizama vizuri katiba ya sasa.
Hata kura ya maoni ya wazanzibar inaweza vunja muungano tizama katiba ya Zanzibar.
Kama mtaulinda kwa gharama yoyote hata kwa kumwaga damu huo si Muungano ni ukoloni are u proud to be colonial...
Tanganyika ina
1.Tanganyika inachangia kiasi gani ?
Nielimishe kwa ushahidi
2.nini maana ya neno TanZania?
3. TRA ni nini?
4.Tanganyika bado ipo?
Naomba kujuzwa
Tanganyika kuna baadhi ya watu wana roho baya .
Yaani matamanio yao Zanzibar sijui iweje yaani hawataki hata maji ya kunywa yapelekwe Zenji.
Samia /Hussein please give Zanzibaris referendum on this nonsense called union
It will help to bring this to any end.
Na tutaheshimiana
leo Mbowe anakesi ya kujibu .
Leo aliepiga lissu risasi hajulikani.
Leo nimemsikia Makamo wa kwanza Zanzibar Othman anasema haoni utashi wa kisiasa CCM kutekeleza mabadiliko walio kubaliana. CCM imesha panda kiburi kikubwa sana.
Busara yao ni kutawala.
Uzalendo ni kutii bila kuhoji ...
Makundi yote mawili ndio wenye Zanzibar.
Walio pinduliwa ni Wazanzibar
Sultan Jesmshid baba na babu yake wamezaliwa Zanzibar wenye asili za kiarabu .mama yake ni Mmanyema kutoka Tanganyika (Tanzania bara)
Alie kuwa Waziri mkuu Shamte ni Mpemba wa vizazi vingi.
Walio pindua kuna wazanzibar...
SWALI
ELIMU NGANI Watanganyika Wamewazidi Wazanzibar.
Eti elimu 🤣🤣🤣 ndio kwanza Samia anawajengea madarasa ya primary schools na matundu ya vyoo
ni kweli sikumaliza chekechea
To be honest huku mtaani watu wapo na OMO.(Othman Masoud Othman)
Hawana habari na Hamadi Masoud ni wachache sanaaa hawawezi kukitikisa chama ACTWAZALENDO .
Hizo ni hasira za mkizi tu
Zanzibar itabaki ACT. Sioni CHADEMA ikipata nafasi kwa siku za karibuni hakuna dalili hiyo mtaani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.