Hi all, an international NGO with offices in Dar inataka kukodisha mini iPads 13 haraka kwa ajili ya data collection (not later than 11th July). Kama unazo piga 0763140247. Rates and all else tutadiscuss. Again, this is urgent. Thanks!
Wanajamii, habari!
Nimegundua kuwa watu wengi huwa wanajisahau ku-renew title deeds zao pale ambapo muda wa kukodi(lease) umeisha. Ninahitaji information hizi kutoka kwa mtu ambaye binafsi ameshawahi ku-renew:
1. Procedures (hizi ningeweza kupata wizara ya ardhi but nataka taarifa kutoka kwa...
Habari wana JF,
Natumai mpo vizuri wakati huu wa "mapumziko". Nina swali kuhusu sheria za kuendeleza ardhi. Tunafahamu kuwa mara nyingi hati ya umiliki wa ardhi inapotolewa, mmiliki hupewa muda maalumu (mara nyingi miaka mitatu) awe ameendeleza ardhi hiyo. Swali langu ni: ni wakati gani ardhi...
Habari Wakuu,
The car is
BMW X3 sports- limited edition
Year- 2005
Mileage 90,000 km
cc 2400
Luxurious leather interior, CD changer, TV, AC and with a royal look and feel. I have just imported this car, got in Dar on the 4th of May 2015. Drives superbly and is good as new.
Price is...
Habari Wakuu,
The car is
BMW X3 sports- limited edition
Year- 2005
Mileage 90,000 km
cc 2400
Luxurious leather interior, CD changer, TV, AC and with a royal look and feel. I have just imported this car, got in Dar on the 4th of May 2015. Drives superbly and is good as new.
Price is...
Habari wana JF. Naombeni msaada wenu kwenye scenario hii:
Kuna LLC ina two Directors, say A and B. A holds 90% and B holds 10% of the shares. Now, B has personal loans and her creditors are after her. Swali
a) Can a court order an injunction on the LLC's assets to pay B's personal loans?
b)...
Mambo vipi wakuu. Ninaomba anayefahamu minada ya mbuzi katika mikoa ya jirani especially Tanga, Morogoro (?), na Dodoma hasa siku za Ijumaa, Jumamosi, na Jumapili anifahamishe please. Kama una information nyingine yeyote kuhusu hili ambayo unadhani inaweza kusaidia unaweza kuchangia. Suggested...
Mambo vipi wakuu,
Nimeamua kujikita kwenye biashara ya daladala na bado nipo kwenye hatua ya utafiti. Nimepitia threads nyiiingi sana humu na watu wengi wanaoipiga vita hii biashara wanakuwa na hoja za "Biashara pasua kichwa", "Madereva watakunyonga" n.k bila kuelezea kiundani changamoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.