MImi naliongelea hili la tenda za kutengenezea Barabara nakuombeni Tafuteni Njia nyingine ya upatikanaji wa wakandarasi
wa hizi barabara zinazojengwa abazo nyingi zinajengwa na wachina kuna siku nilikuwa naongea na maboss wa juu kabisa wa kampuni za kichina zilizoko hapa nchini kwa kazi hizo...
Yaani mimi ndiyo nasikia kama Laurence masha yupo kwenye Nyumba ya serikari mpaka hii leo Basi
Tanzania hatuna Viongozi tuna wahuni wanaopeana vitu vya uma hawa ni wahujumu uchumi mfukuze kwenye hiyo nyumba ya uma vinginevyo uma utamfukuza
Kaka Tatizo siyo hilo Tatizo watendaji wote wamekaa kimasilahi nyerere aliye baki sisiem ni hawa watu watatu 1. samweli sita
2.mwakyembe 3.dk magufuli wapeni uwaziri mkuu hawa muone
Kama Liumba alishitakiwa kwa nini hawa wasishitakiwe? wasiposhitakiwa itakuwa ni group moja
Na Raisi Washitakiwe wafilisiwe Tafadhari jamani Tuunge mkono hoja la sivyo nguvu ya uma itumike
kAKA KUNGUNI AKIINGIA NDANI YA NYUMBA WANATOKA KIRAHISI HAWA WATENDAJI WA CCM NI KAMA KUNGUNI
WANAFIKIRIA KUNYONYA WANANCHI TU HAKUNA KINGINE WANACHOWAZA.
WANANCHI WAPIGE KURA YA KUWANYONGA
sio wafikishwe kwenye vyombo vya dola wafilisiwe ngeleja mwaka 2005 alikuwa anakaa kimara
mabondeni kule kilungule leo hii hata kwenda kuangalia gofu lake haendi
wataifishwe kila kitu iwe fundisho kwa wengine
wa
Tufike mahali Nguvu ya uma tujue hawa ccm wanajuana kwani, sokoine alipata wapi nguvu au sheria ya kuwakata wahujumu uchumi? kwani wale wanatofauti gani na hawa watendaji wa kikwete? kama filisi mpaka kijiko bila kesi yoyote ushahidi ni huo kutowajibika unatosha
tuwaige wenzentu wachina boss...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.