Hao waliobaki ndo waluouza loliondo,wamekufanya una elimu duni kingereza hujui japo unajiita msomi,wamesomba ela za escrow kwa magunia,wameuwa viwanda na mashirika yote nchini,nk. Hivyo Endelea kubaki usingizini ukija kumbuka shuka kumekuchwa
Watu humu mmekula buku kumi kumi zenu ili mfanye propaganda, kwa taarifa yenu wapiga kura hasa wale wa ukawa hawana uwezo wa kuingia humu kusikiliza hizo chai zenu.watanzania washafanya maamuzi. Tulieni mnyolewe
endeleeni kugugumia kwa maumivu, wapiga kura Leo nadhani mliwaona wakimsindikiza mkombozi wao kuchukuwa fomu. bakini na tuhuma zenu zisizo na mashiko wala ushahidi.mapovu, jasho na stress ziwe nanyi daima.
Ole sendeka ambaye alikuwa anamshambulia sana EL kipindi cha tuhuma za Richmond, juzi alipaza sauti na kusema EL hakuwahi kuchukuwa hata Tsh mia kwenye sakata la Ricmnd. mapovu yanawatoka mafisadi wa awamu ya 4 kwa sababu wanajua kitakachowatokea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.