-[TZ-2017-23]-[CLA-SLI-1-LV3]"]Best Womens Shoes Flash Shopping Deals Online in Tanzania | Jumia Market
FLASH SALE IS NOW ON AT WWW.JUMIA.CO.TZ! LIMITED STOCK ON PROMOTION! ALL SIZES ARE AVAILABLE! GRAB YOURS FAST! PLACE YOIR ORDER ONLINE AT WWW.JUMIA.CO.TZ PROMO...
Price ni 20,000 delivery ni 3000 kwa Dar, mkoani ni 8000. Unalipia Cash on delivery. Ukipokea mzigo ukirizika ndo unalipia. 0759313687. Material Leather
Ni wale wale wauzaji wakubwa wa vitu mtandaoni barani Africa wanakuletea ofa kabambe ya March ndani ya Tanzania. Ni punguzo kubwa katika vitu mbali mbali tembelea www.jumia.co.tz upate punguzo hilo leo.
Kwa Dar, Tanga, Arusha na Mwanza utalipia ukipokea mzigo kwa kitu kisichozidi 1,000,000...
Ni wale wale wauzaji wakubwa wa vitu mtandaoni barani Africa wanakuletea ofa kabambe ya March ndani ya Tanzania. Ni punguzo kubwa katika vitu mbali mbali tembelea www.jumia.co.tz upate punguzo hilo leo.
Kwa Dar, Tanga, Arusha na Mwanza utalipia ukipokea mzigo kwa kitu kisichozidi 1,000,000...
Natafuta supplier au kiwanda cha nylon packaging bags kama za DHL za kusafirishia vifurushi. Ziwe na uwzo wa kuwa sealed kwa gundi na sehemu ya kuattach documents kwa juuu. Sample pichani. Kama unajua wanapofanya au napoweza kupata tafadhali nielekeze au nisaidie mawasiliano yao.
Natafuta supplier au kiwanda cha nylon packaging bags kama za DHL za kusafirishia vifurushi. Ziwe na uwzo wa kuwa sealed kwa gundi na sehemu ya kuattach documents kwa juuu. Sample pichani. Kama unajua wanapofanya au napoweza kupata tafadhali nielekeze au nisaidie mawasiliano yao.
Sio kesi, soko huria hili,mtu ishi kwa uwezo wako. Mimi nyumba zangu ni nzuri, zenye ubora najiamini na hio bei nimechaji ni ya kikristo kabisaa isiotaka faida kubwaa.
Kama kodi kubwa kwenu sijamlazimisha mtu lazima akae kwenye nyumba zangu, sio deni kabisaaa. Nimekuja hapa kutafuta mtu akaishi...
Mimi sio dalali, sana sana una wainsult madalali bureee tu na wao wanapita humu na hii ni industry yao, Tangazo kama hili lazima wapite, wewe payuka kitwauma madalali mi hakiwezi kuniuma sababu sio dalalina ningekuwa dalali wala nisingejificha au kuandika hakuna dalali sijui nini ya nini sasa...
Hahahaaaaaaaaaaaa! Kama mimi kuwa na Vibanda manake Nyumba siku hizi ni maghorofa kimewauma sanaa mnisamehe bure tu. Nawashukuru wazazi wangu kwa kuwahi mjini na kuwekeza. Aliewanyima nyie vibanda ndo kanipa mimi, niawaombea mjenge ghorofa 50, 50 kila mmoja wivu uwatoke kidogo.
Nasisitiza...
We vipi!Maybe nikacheki hati zangu za nyumba asubuhi kabatini huko nilikozichimbia. Mimi nikija i drive mpaka site kwangu, na nyumba hio moja naipangisha since 2004 maybe, na nyumba yenyewe nilirithi tu, kuoneshwa nyumba hii hapa isimamie. So ilikuwa imepangwa na mtu wa UN, then akapanga mtu wa...
Wewe mtoto wewe kwa hio huyo KIWORI sijui KIMBORI ndo ana nyumba zoooote eneo hilo? Nyumba ni zangu, mimi naishi Dareslaam, kule nimewekeza tu, naendaga kusurvey kidogo na kurudi. Majina nimemuuliza fundi tu maybe alikosea au hajui kuelekeza. Mimi nikija huko nakuja na gari langu so sihitaji...
Ninazo 2. Moja iko Kihonda Maghorofani nyingine iko Forest juu kidogo ya shule ya Forest zote zina wapangaji kwa sahivi. Ya Forrest 1 million kwa mwezi ni ya ghorofa anakaa mzungu, ya Kihonda ni ya kawaida, lakini mpya imeisha 2013, so finishing yake ni ya kisasa 300,000 kwa mwezi zote kodi...
ENEO NI NJIRO KITUO GHOROFA MBILI KWA KIMBORI. Nyumba ziko hapo hapo jirani kabisaa na kituo.
Nyumba ya 1 ni 4 bedrooms, sebule kubwa, dining, stoo, master bedroom, fenced, Parking ya kutosha, wood ceiling, grills, karibu kabisa na kituoni. Tsh 450,000/= kwa mwezi, kodi mwaka, haipungui bei...
hio hela ndo hasara!
Kuna nyumba ya maana 3 bedrooms, 1 master, finishing ya ukwee, gypsum, tiles, fence, madirisha alminium 500,000/= kwa mwezi Njiro gorofa mbili!
Kuna ki servant quater sebule kubwaaa na master tiles, gypsum, madirisha alminium 200,000 kwa mwezi! Njiro gorofa mbili nyumba...
inabidi kujua vote vinakula watts ngapi! type zipo kabisaaa ni kwamba unachukua pannel kubwa na battery kubwa zenye uwezo huo! kuna mradi wa solar ya kusukuma kiwanda tumeundikia wanaweka pannel heka nane!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.