Search results

  1. E

    Uliza Chochote kuhusu kumiliki Ardhi Tanzania

    naomba kufahamishwa taratibu za kupata hati na gharama yake, nilinunua kiwanja chenye ofa nimejenga tayari,
  2. E

    Utaratibu na gharama za kupata hatimiliki ya nyumba/kiwanja

    na kiwanja nimeuziwa kina Offer na kimepimwa,kimewekewa becoans.Sasa hakina hati,nimeshajenga na ninaishi nataka kuuliza mchakato wake upoje nipate hati? gharama ni kiasi gani?
  3. E

    Hatimaye Utumishi wamefanyia kazi maoni ya MwanaJamiiForums kuhusu upatikanaji wa salary slip online

    haitoi tena taarifa ya mtumishi labda majaribio yamekwisha muda?
  4. E

    Madaktari kufanya Operesheni ya kumkata mtu kichwa na kumuwekea mwili mwingine

    kuna report kuwa south africa wameshafanya hii operation Johannesburg, South Africa — A 36-year-old man has undergone the world’s first successful head transplant. The ground-breaking operation took a team of surgeons nineteen hours to complete and has allowed the patient to be cancer-free.
  5. E

    Utapeli wa namba za mawakala wa kutoa pesa

    nadhani voda wametoa majibu rahisi,na haraka,ina maana hawana uwezo wa kumdhibiti mteja na wakala wa m pesa?ikibidi hata kumfungia asitumie huduma yao?
  6. E

    Spanish tiles Bei nafuu

    ndugu iyo simu haipatikani?
  7. E

    Tatizo la Artery kuwa Fupi kuliko Vein kwenye Moyo

    inawezekana wakawa sahihi rudi nae wote mpate maelezo sahis matatizo mengine ya moyo hayatibiki sababu ya aina ya ugojwa ,hatua ulipofikia,na muda mgojwa ametafuta hudua,pengine amechelewa san hivyo husaidia awe na nafuu kwa dawa kila siku bado nakushauri rudi nae,kama ameshafika hapo atakuwa...
  8. E

    Tatizo la Artery kuwa Fupi kuliko Vein kwenye Moyo

    ndugu pole mlete muhimbili taasisi ya moyo ya jakaya kikwete utapata ufumbuzi wa maswali yako na tatizo la mgojwa na nini kifanyike muda gani na kwa sababu zip
  9. E

    Ni kosa kubwa daktari kuwa Mkurugenzi wa Hospitali

    good observation watanzania wangapi wa kawaida wamenunua nyumba huko?
  10. E

    Madhara ya kutafuna mchele mbichi/udongo

    Mara nyingi watafuna mchele wana upungufu mkubwa wa madini ya chuma(iron),,huwa upungufu wa dam Ukienda hospitali ukafanyiwa uchunguzi utadhihirishiwa hil Madhara ni damu huendelea kuwa ndogo na hamu ya kutafuna huongezeka jinsi madini ya iron yanavyogungu Mtumiami pia anaweza akawa na...
  11. E

    Wanandoa: Upangaji wa nguo chumbani

    Nimecheka sana lo Nadhani bora kununua sox zinazofanana pair nying Ushauri wa kuweka mbili pamoja ni mzur Ni vema kuwa na kabati lenye droo au chest droo Humo sox,boxer,underpants,bra kila kimoja kwenye droo yake na kila mtu na yak Ushauri wa kugawa visizotumika ni mzuri sana katika...
  12. E

    Ushauri: Nimegundulika kuwa na High Blood Pressure. Je, nifanyeje kuhimili hali hii?

    Domy Nenda hospital Utapewa ushauri na vipimo muhimu kufahamu pressure kubwa imeathiri vipi viungo vya muhimu mwilini mwako matibabu ni dawa,mazoezi na kuzingatia masharti ya chakula bora(wanga kidogo,mboga mboga kwa wingi,matunda kwa wingi na kupunguza mafuta na chumvi ktk chakula,punguza...
  13. E

    Niokoleeni watoto wangu tafadhali wanaJF

    Pole Inaonekana kama uzio wa ngozi Nakushauri daktari wa ngozi amwone,nenda muhimbili utapewa hudum Kutibu ngozi yahitaji uangalifu mkubwa
  14. E

    Taifa liadhimishe Komba day

    Labda tbc warudishe kile kipindi cha tuimbe sote...............
  15. E

    Yaliyojiri ktk Maadhimisho ya Miaka 50 ya Muungano wa Tanzania, uwanja wa Taifa - Dar es Salaam

    Kwa nini wanaonyesha tuliyonayo? Mambo ya ulinzi magumu Kwa mtazamo wangu nisingemuonyesha jirani nina jilindaje....
Back
Top Bottom