Aliyekuwa waziri wa ardhi na makazi wa Tanzania mh. Anna Tibaijuka anaitaka serikali kubadirisha utaratibu wa mbunge kutokuwa waziri ili wabunge waweze kuwahudumia wapiga kura wao badala ya kutumia muda mwingi kufanya kazi za serikali.
Wadau kama sio uchizi ni nn hiki au ndio kapagawa baada ya...
Mchango wako wa leo umechangia kwa njia ya aina yake ktk suala la kuitetea nchi kwa ujumla lakini pia hukutupa au kwa lugha nyingine kutuacha vijana nguvu kazi ambao ni Taifa la leo hasa sisi wenye kipato cha chini
ambapo kila kukicha tunadharauliwa na kupewa majina ya kila aina lakini pamoja...
Tulishuhudia kipigo kwa wabunge wa upinzani wa jimbo la ilemela na mbunge wa ukerewe mhe.machemli walivyo jeruhiwa mpaka kufikia kulazwa ktk hospitali ya rufaa ya taifa muhimbili.swali la kujiuliza ni kwanini wamekuwa wakipigwa wabunge wa upinzani kiasi ambacho hupata majeraha na kuhatarishiwa...
Tulishuhudia kipigo kwa wabunge wa upinzani wa jimbo la ilemela Mhe.Highness Kiwia na Mbunge wa ukerewe Mhe.machemli walivyo jeruhiwa mpaka kufikia kulazwa ktk hospitali ya rufaa ya taifa muhimbili.swali la kujiuliza ni kwanini wamekuwa wakipigwa wabunge wa upinzani kiasi ambacho hupata majeraha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.