Iringa na moshi nianavyo mi hiyo mikoa haina tofauti ya kimaendeleo,mhehe na mchaga ni makabila tofauti ambayo yana tamadun tofaut,mhehe ni shujaa ktk nchi hii ,piri suala la iringa kuwa na waarab na raia wengine ni la kawaida,sasa mtoa mada alitaka wahehe wawafukuze waarab na wagirik na waburushi?
si kweli kwamba kuna udini na ukabila,jk kachemsha maisha magumu kwa wa tz ,mfumuko wa bei, na ufisadi wa mawaziri wa na yeye hachukui hatua yoyote, tumwelewaje wakati yeye ndio mkuu wa nchi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.