Wanaitwa waheshimiwa kwa sababu wana vyeo vikubwa hivyo wao si wananchi wa kawaida.Kifupi wao pamoja na mawaziri,majaji,mahakimu,madiwani ni wa daraja jingine hivyo wamependa kuitwa hivyo wakimaanisha wao ni WAHESHIMIWA na wanaowaongoza na kuwahukumu au kuwatoa hatiani yaani wananchi wa kawaida...
Masopakyindi hilo la maji kubadili njia linawezekana kwani ni juzi tu tulishuhudia kombe la uefa likiacha makazi yake ya munichi iliyoyazoea na kufurikia eneo la jangwa la london
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.