Kama nimemsikiliza vizuri
Moja kati ya changamoto za mradi ilikuwa
project communication management haikuwa well planned
Project quality management pia haikuwa sawa ndio maana baadhi ya hatua zimechuliwa,
Na hay Mano yanawezekana kabisa awayabtano project zilikuwa zinaendeshwa kisiasa
work Breakdown structure unayoingolea ni ipi moan kama unalalamika
Project hiyo ilikuwa inafanyika kisela Sasa lazima Work program inayoaandaliwa izingatie mambo mengi na siyo ya kisiasa
Ukiangalia katikati ya mistari Huna hoja ya msingi
Sukuma gang
Makamba anawasumbua sana mimi nipo tanesco toka huyo msukuma wenu aropoke watu wafunguwe uneme kwa 27000 tanesco walikuwa wanawapimia watu lakini hawakuweza kuwafungia watu mita
Huu ulkuwa mzigo mzito kwa tanesco, mpaka january Mak anaingia madarakani kulikuwa na pending za muita...
Huwa napingana na magufuli siku kzote lakini kwa hili naomba nimuunge mkono....watoto wachapwe wamekuwa wajinga ....mimi niliwahi kuchwa kwa siku fimbo zisizo pungua 30 lakini hizo fimbo ndio zilisaidia kubadilisha mtazamo wangu kwenye masomo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.