Najua wewe ni walewale walioweka rehani akili zao na kuendeleza fikra mgando na kutegemea kukopi na kupesti bila kuelewa ni nini kiwapasacho kufanya. Inawezekana wewe uko SSRA au si mtumishi wa umma. Kama ungekuwa mtumishi wa umma hungesema hayo, hiyo ni hela halali ya mtumishi aliyeacha kazi...
Kitu kinachowasumbua CCM ni kukosa ubunifu wa jinsi ya kuwaridhisha watanzania ambao mpaka sasa wamekosa mwelekeo chini ya utawala wao.Viongozi wengi wa CCM kazi yao ni kupiga kelele badala ya kushughulikia kero za wananchi. Ikumbukwe kuwa mwaka 2011 zaidi ya asilimia 40% ya wanafunzi wa kidato...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.