Wanampa aibu kubwa JPM kila kukicha. Amezeeka kabla hata hajatoboa tano zake.
Wenye viherehere na kujipendekeza wanaendelea kumzeesha huyu rais wetu.
Ipo kazi kweli kweli!
Hivi hajagundua tu kama anaingizwa chaka kila kukicha. Hizo sifa anazopewa itabidi azipime kwa ufasaha kweli kabla haijawa...
Asante sana Quinine kwa kutusaidia kuwavua chupi na boksa zao hadharani.
Aibu kabisa kwa hawa mbuzi wanaohama kila kukicha. Wapo kama misukule tu isiyojuwa chochote.
SHAME SHAME SHAME!!!
Usishangae hiyo barua imeandikwa na Slow Slow na kuwekwa kwenye flash disk.
Ha
Hata mimi sijaelewa hapo vzri ila naona ni kuongea manake waandishi wa habari hawahongi (labda kama nyie ccm sasa meamua kuwapa jukumu hilo waandishi wa habari)
Nimekuelewa ndugu.
Ila ni mapema mno kuhisi mimba. Jipe muda kidogo. Hizo dalili si lazima ziwe za mimba.
Ila kuna rare cases ambazo mwanamke anaweza kupata ovulation wakati yupo period. Hii inaweza kufanya mimba itunge.
Vuta subra kidogo.
Huu mtifuano wa ke na Tz sijuwi utaisha lini. Hatuna breki hata kwenye majonzi.
Its like kila mmoja anamwombea mwenzake mabaya tu. Who benefits from these mitifuanoz.
Eti wengine wanasema ni watani zetu tu.
Watani my foot!!!!
Poleni sana neighbors.
Musiba na habari zake hazina tatizo, tatizo ni viongozi wa CHADEMA kufumbia macho na kunyamazia hayo yanayoandikwa kila kukicha.
Wakinyamaza manake yaliyomo yamo ndo mana wanashindwa kuchukuwa hatua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.