Upumbavu wa ccm ni vigumu kuumaliza,wezi wa rasilimali na wauza madawa hawaonekani ila cdm inaonekana.Polisi wapumbavu na wasiyo na aibu wanazidi kuiua ccm na viongozi wake.Haiwezekani kubaki madarakani kwa kutumia nguvu za dola.
Nchi yangu Tanzania,ni kweli huna viongozi,una waganga njaa na wahuni watupu.Wahuni hawa ni aibu tubu kwani kimataifa tunaaibika kwa sababu ya mafisadi wachache wasiofikiri na kuona mbali.Ccm mmekuwa janga kwa taifa letu,hamna dira wala mwelekeo,nendeni mkalime wezi wakubwa.
JK na CCM ndiyo waasisi wa huu mchezo mchafu wa udini,huu ndiyo ukweli.Kwasababu hawana sera nyingine zaidi ya udini watuachie nchi yetu ikiwa na amani warudi nyumbani.Usalama wa taifa umegeuka kuwa usalama wa CCM,mafisadi na wauaji wa watu wanaowaambia ukweli.
Jamani hatuna serikali,alichootesha Kiwete sasa tunaona matokeo yake.Hatuna viongozi bali genge la wahuni wasiyo na busara wasiokuwa na dhamira.Nchi haiwezi kuongozwa kwa uswahili na kwa kuwaibia wananchi maskini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.