nikili hii ndo mara yangu ya kwanza kupost katika jukwaa hili
nimekua nikijiuliza sanaa..kwanin siasa??
kwa nini siasa juu ya wataalam?? kweli tanzania bado tunapelekeshwa na wanasiasa.....tunaacha jadili ya msingi tunakaa discuss cheap politics
tuna laana....no wonder hawa jamaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.