Tushawazoea magamba waache wafurukute ndo chance walionayo.,kama bajet ya chadema ni km ya harusi,iyo aliopewa Ngeleja akiwa waziri alifanyia nin km co send off.,hana jipya..
Ivi wakuu Lukuvi mtanzania kweli.,kazi yake ukinara wa magamba.,mbaya zaid hanyimwagi mwongozo,inabidi uhamiaji wafanye kazi yao haiwezakani atetee bajeti mbovu vile
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.