Mambo ya kwenda ulama kutafuta maisha yalikuwa ya za mani sana Enzo zile za ujamaa,huyo Jamal asithubutu kwenda uk,atajuta maisha yake yote!apambane hapahapa Atalanta maisha anayoyataka,ajiulize nano alienda huyo akarudia hapahapa bongo Akita na maisha bora?
Ni Mbao za aina gani umetumia?kama ni Jamii ya crevilia au Mbao zenye Sukari ni bora kubadili Mbao zote za paa Kabila halijashuka.mimi nafanya kazi za carpentry,nimewahi kukutana na tatizo Kama Hilo almanusra nifunge Kiwanda sababu ilinichukua Mwaka mazima kufanya repair za bidhaa mbalimbali...
Wabongo tumieni ubongo kujadili/kufikiri mambo ya msingi na kupambana na maisha yenu kujiletea maendeleo badala ya kupoteza muda kujadili watu kuwatungia uongo wa kale kabisa usio na mashiko.
Tatizo la magamba ni kuona watanzania hawana uwezo wa kufikiri;lakini watanzania wa leo kichwani zimejaa;magamba endeeleeni na mbinu zenu za kale zinazothibitisha mgando wa kutisha wa akili zenu.
Hata baba wa taifa mwl nyerere angekuwa hai leo,kamwe asingeweza kumpigania mtu toka upande wa zanzibar kuwa rais wa jamhuri kwa hali ya kisiasa ilivyo na uelewa/weledi mkubwa walionao watanganyika kwa sasa,nafasi pekee iliyokuwepo kwa mzanzibar kuwa rais wa jamhuri ilikuwa mwaka 2005 kwa salim...
Hata baba wa taifa mwl nyerere angekuwa hai leo,kamwe asingeweza kumpigania mtu toka upande wa zanzibar kuwa rais wa jamhuri kwa hali ya kisiasa ilivyo na uelewa/weledi mkubwa walionao watanganyika kwa sasa,nafasi pekee iliyokuwepo kwa mzanzibar kuwa rais wa jamhuri ilikuwa mwaka 2005 kwa salim...
lowasa ni kiongozi jamani;hebu watanzania tujiulze;nani hajuti sasa hivi kwa bahati mbaya tuliyoipata 2005 ya kupata kiongozi kama kiwete!mimi sielewi au najiuliza kila siku rostam na lowasa waliona nini kwa kiwete mpaka kukubali kumpigania kwa nguvu zao kuingia ikulu..naamin watajuta kwa maisha...
hii hata mimi imenitokea mfululizo zaidi ya wiki 4 sasa kila siku ifikapo muda wa jioni wanakata/wanapunguza salio ktk cm yangu bila kupiga au kutumu ujumbe kwa simu yangu;siku moja customer care walinipigia nikawauliza sababu za kufanya hivyo hawakuwa na sababu za msingi;tcra sijui wako...
Nakubaliana na mtazamo kwamba kelele zote za mhe zambi ni kumlinda mhalifu kumburu kwani dg huyu yuko tcb kulinda maslahi yake binafsi na kambpuni za washirika wale technoserve na kilicafe;mwaka 2008 niliingia ktk biashara ya kahawa kwa stle ya kuaz kutumia kikundi,tokana na mtikisiko wa uchumi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.