JKT kwa sasa haina uwezo wa kuwachukua wale wote wa lazima na pia wa hiari hivyo kigezo hicho kina ubaguzi. Hakitoi fursa sawa kwa wote.
Ukikitoa kigezo hicho ina maana wote wanatafuta ajira wanaweza kudahiliwa wakikidhi vigezo vingine. Wale watakao pita ndio watafanya mafunzo ya awali ya...
Cherie bondowe waimbaji ni boyibanda michel, wuta mayi, na josky Kiambukuta. Mayaula hakuwahi kuimba hata mara moja ndani ya ok jazz hiyo ilikuwa kazi ya josky na wsimbaji wengine.
Without portfolio huenda ikasomeka mzurururaji haipendezi, special work or duty sounds better lakini bado hana portfolio. Anaejua huyu anafanya kazi gani ni raisi tu.
Alikuwa strategist mkuu wa kundi la msoga. Pia mtendaji mkuu hivyo ndani ya ccm hukuweza kuwatenganisha hadi pale issue za umeme zilipo ibuka na jk alisema ccm haitamfia mikononi ndoo enl akatoswa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.