Arithiwe na mgombea aliyemfuatia kwa wingi wa kura, kwakua ndiye chaguo la pili la wananchi (kama hakukuwa na uchakachuaji), na si kurithiwa na mtu kutoka chama chake ambaye wananchi hawamjui wala hawakumpigia kura zozote kumchagua. Kwani ukidesa Msumbiji au Ghana, ndo ukopi mpaka jina la mtahiniwa!
Think time have changed and for Ruling Party, the people wants changes!
Nadhani kwa sasa watanzania wako busy kutafakari na kutafuta chama m-badala wa RP, wakikipata na wakawa na imani na matumaini hata kidogo kuhusu hilo, hakika hawatasita kufanya mabadiliko. Ndiyo maana this time Arumeru...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.