Du siamini kama ni kweli amethubutu kufunguka namna hiyo. Naona Mungu anazidi kuweka madudu ya watawala hadharani. Waandishi wahabari mmeambiwa sasa acheni kumuumbua muone mtakavyobaki bila kucha, meno, na macho. chezea usalama wa taifa wewe
Kweli kwa maneno haya ni dhahiri kuwa NAPE anaanza kuchanganyikiwa. anakuja na hoja mpya kabisa, mwanzoni walituambia kwamba wanataka kuchakachua habari za bunge kwa sababu wabunge wanafanya fujo na kujenga twasira mbaya ya chombo hicho kwa wananchi. leo Nape anatuambia kwamba wananchi huwa...
Huyo Shehe kajichanganya mwenyewe. Kwanza alisema kuwa alifunikwa uso. Sasa kama alifunikwa uso hivyo vitambulisho vya wana usalama aliwezaje kuvigundua. hapa kuna mswali mengi kwa shehe
Watu wa Kilimanjaro naomba wamhoji nape anazisemeaje kauli zake hatari za kibaguzi zenye misingi ya ukanda na ukabila. aliwahi kusema chadema ni chama cha wachaga.
Sasa aulizwe ana kauli gani kuhusu sera zake hizo za kuwabagua wachaga. Ni lazima abanwe. anawaambiaje wachaga walioko CCM? Je...
mkuu naona hapa umekurupuka. nahisi hujaelewa hiii thread na ujumbe uliopo. jamaa kaandika kifalsa zaidi. usije ukajikkuta wewe ndio mvivu wa kufikiri na hata kuelewa.
Hakuna cha msamaha redioni.. Kama ni msamaha akawaombe wanarumeru kwa staili ileile aliyotumia ya mkutano wa hadhara. wanarumeru mashariki wakionesha dalili ya kusamehe basi na sisi tutafiki na kupima kama asamehewe.
Ndugu wanajamii,
Nimekuwa nikisubiri kwa hamu kusikia NAPE akitoa tamko la kulaani matusi ya LUSINDE kwa wananchi wa Arumeru na Watanzania kwa ujumla. Imekuwa ni tabia ya NAPE kujitokeza na kutoa tamko kuhusiana na jambo lolote linalogusa chama chake cha CCM kwa uharaka sana. Na hata juzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.