Busara inahitaji kupingana bila kwenda personal na kumtukana asiyekubaliana na wewe. Huyu katofautiana na wewe umemtukana, ungekuwa na mamlaka si ungefanya hayo hayo unayoyapinga???
Hiyo gharama ya kukodi usafiri tani moja moja na kurudia ni afadhali kulipa huo ushuru!!!
Kama kweli wakulima wanapaswa kusaidiwa basi aseme mkulima apatiwe kibali cha kusafirisha mazao yake bila ushuru. Hii inawezekana kwa kuorodhesha wakulima.
Wafanyabiashara wao watozwe ushuru
1. Ukitafakari mikataba ya kijinga ya madini iliyoingiwa kabla yake
2. Ukitambua upuuzi ulio kwenye mikataba ya mafuta na gas na ambayo miswada yake ilipitishwa kwa hati ya dharura..,.
Unalazimika tu kukubali Magufuli amekuwa Rais kwa wakati muafaka.
Hii nchi ilishageuzwa ya walevi.
Cha mlevi...
Ilipoletwa miswada ya mafuta na gas Bungeni kwa hati ya dharura, walio na uchungu na nchi hii walikataa hadi kususia kuijadili.
Hawa wenzetu wa #ndiyoooo wakawazomea wenzao na walipomaliza wakagawa rasilimali hiyo!!!
Leo wanamuunga mkono Mheshimiwa Magufuli kupigania mali waliyoigawa muda si...
Busara ni kupangua hoja zake kwa facts. Sio kushambulia personality yake.
CCM inahitaji watu makini watakaokuja na kuzipinga hoja hizi kwa takwimu; sio kwa hoja dhaifu za "Chama kinamfia mkononi."
Kama huwezi kukitetea Chama na Serikali kaa kimya kuliko kukidhalilisha kwa hoja nyepesi.
Tunataka...
Sidhani kama Serikali kutekeleza wajibu wake, tena kwa kuchelewa kiasi hiki (miaka miwili ndio wanaongeza mshahara) ni jambo la kukufanya kuanzisha uzi humu!! Hii si siasa, ni maisha ya watu waliokuwa na mshahara ule ule kwa miaka 2 wakati vitu vikipanda bei.
Kwa maana nyingine walishushiwa...
Bahati mbaya mainstream media ya dunia inatawaliwa na nchi za magharibi na nchi yoyote ikikataa kuisujudia Marekani na washirika wake, media hizi hutengeneza taswira mbaya sana ya nchi ile.
Korea wamegoma kupiga magoti hivyo tunapewa taswira kuwa mambo ni ya ovyo sana huko
Tuache siasa kwenye haya mambo.
1. Umeshawahi kusikia hata Rais wa Kenya kaenda tibiwa nje?
2. Kuna Bima za afya za kimataifa kama BUPA ambazo hutambua hospitali za rufaa za Kenya na hakuna hata moja ya TZ.
3. Wazungu wa mashirika ya kimataifa waliopo Tanzania huwa evacuated to Nairobi for...
Mjibu hoja zake badala ya kum-attack personality yake. Kupishana mitazamo, maono, misimamo ni moja ya mambo yanatufanya tuitwe binadamu.
Kama hukubaliani na hoja zake; pambana kwa hoja
Sio lazima umtukane. Mueleweshe tu.
Ni kweli mtoa mada ameandika mambo yasiyo na chembe ya ukweli.
Ila Jamii forum haipo kwa ajili ya ku-attack personalities; ipo kukinzana hoja!
Umefafanua vizuri sana hoja zako!
Kinachonitatiza ni kwa nini umeambatanisha hoja zako sahihi na kashfa na matusi.
Hayakuwa na sababu maana hoja ilishajitosheleza.
Imekuwa taabu nchi hii kujadiliana bila kukashifiana?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.