Tofauti ni kwamba machozi ya Lisu yanatokana na emotion km wanajukwaa walivyoeleza, na ni kawaida watu wengi kulia anapopata ushindi. Machozi ya Pinda alikuwa analilia uwaziri mkuu, kama angekuwa na na uchungu kwa mauaji ya albino angelia siku aliposema wauaji wa albino wanyongwe
Jamaa ana akili sio kibonde. Comment zake ni za busara sana. Nakumbka aliwah kumuambia bonge mbona analalamika tu kama KJ wakati ana uwezo wa kuchukua hatua
Binafsi sioni km amerahisisha, kwa jinsi JK alivyochemsha kwa mtu mwenye upeo lazma aelewe kuwa urais cyo kila mtu anauweza. Kama wewe ni KJ (Kubwa jinga) huwez kuongoza nchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.