Ndg zangu nawasalimu. Kumekua na watu wachache wanaopenda kula kiulaini katika kijiji cha Ngaritati wilayani Siha wanaofanya ubambuzi wa nguvu wakidai wanabambua sh 9000 ya chakula cha wanafunzi wa shule ya msingi Ngaritati pamoja na sh 5000 ya miguu.
Ikumbukwe kwamba asilimia kubwa ya...
Hello wana JF,
Naitwa Salehe Jafary natafuta mke mwema wa kuanza nae maisha, elimu, dini sichagui ili mradi awe mwenyeji au anapenda kuishi Mwanza, Simiyu. Umri miaka 19 hadi 25.
Aliyetayari anicheki 0743602065
Uongozi wa Sunshine academy iliyopo Lamadi eneo la makanisani wilayani Busega, unatoa nafasi ya kazi kwa Mwl.
Sifa: Awe na ECD certificate au diploma
Awe anaishi Busega.
Awe ndio katoka chuo.
Kwa mawasiliano piga namba +255756506024 email amedeusmushi88@gmail.com au tuma sms kwenye whatsapp...
Ngd zangu niwasalimu katika amani na maendeleo ya nchi?
Nchini Africa Kusini hivi majuzi rais Jacob Zuma alisaini law iliyopitisha watu wote wenye HIV kuwekewa ndui pajani ili ukikutana naye kimwili ujijue unaangamia
, je kwetu watazuia vipi janga hili la kitaifa linalokuja kwa kasi...
Punzika kwa amani Dr. Gabriel Ulomi .Dr Ulomi aliyekuwa Mount Meru hospital na kuamiishiwa Mkula hospital iliyopo katika wilaya ya Busega mkoani Simiyu.
Nimepata taarifa kuwa hatunaye tena na ni miezi isiyozidi sita tangu awasili Simiyu. Wale mliosomea KCMC udaktari mtamkumbuka sana huyu daktari.
Hapana bila kuwafukuza kazi mkuu wa wilaya ya Busega na mkurugenzi wake pamoja na kutengua uwaziri wa Titus Kamani. Baada ya hapo kurudia uchaguzi ili kurudisha uamiminifu wa wanabusega kwa serikali.
Watanzania wenzetu kama nilivyoripoti toka jana Habari za mabomu na risasi Busega kisa raia wanataka wampendae na serikali ya ccm haiwapendi.
jana kulitokea maafriko ya mabomu risasi na wananchi wengi walipigwa vizungu .
jeshi la polisi Lamadi ndg zangu mnaliacha wapi?
Polisi lamadi wote...
Ni msemo uliozoeleka kuwa Tanzania nchi ya amani lakini leo mkoani Simiyu katika kijiji cha Lamadi amani hiyo kwa mara ya kwanza imetoweka baada ya FFU kuanza kutumia mabomu kuwatawanya wananchi waliokataa kupiga kura jana na hatimaye uchaguzi huo kuhairishwa hadi leo.
Sababu za uchaguzi huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.