Wanaojinasibu kuwa karibu na Wananchi, kuwa upande wa wanyonge na wanaowasikiliza wasio na sauti ndiyo hao hao waliosimama na kupaza sauti zao wakijifanya kumbeza Mzee Warioba lakin kiuhalisia walikuwa wakiwabeza Watanzania hawahawa waliokuwa wanawalipa! Kumbukumbu zipo Watanzania wanawajua na...
Gari la kuwapeleka gerezani linapatikana kwa urahisi kuliko la kuwatoa gerezani kuwapeleka mahakamani ili wakaachiwe huru! Mungu anawaona wanaochezea haki za watu.
Makala nzuri Bw Mpendazoe. Bahati mbaya umeruhusu mapenzi yako kukutawala wakati unaandika makala yako. Umewasilisha mabaya pekee toka upande usioupenda na mema pekee toka upande uupendao! Sisi tusio upande tunayaona mema na mabaya ya kila upande.
Hakuna kisichowezekana dunia hii hasa kwenye siasa. Kwa kuwa kwenye siasa kuna janja janja nyingi, ulaghai na uongo uongo mwingi, yatupasa kuwa makini. Watu walipuuza kauli hizi zilipokuwa zinatolewa na watu wepesi wepesi. Kwa kuwa sasa imetamkwa na "retired political heavy weight" yatupasa...
Mhujumu uchumi ni mhujumu tu, mwizi ni mwizi tu, aliyefuja mali zetu kafuja tu, aliyetumia madaraka vibaya kayatumia vibaya tu. Yuko CCM, CDM, UKAWA, au hana Chama haiondoi makosa yake. Cha msingi ni kuwa wachukuliwe hatua bila kujali wanatoka Vyama gani vya siasa. Kuna waliofanya ufisadi na...
Kwa nini kama taifa tu
Li
Kwa nini kama taifa tulikubaliana na kutumia mabilioni ya pesa za walipakodi wa nchi hii kukusanya maoni ya Wananchi, kuunda Bunge la Katiba na kisha kupata Katiba Pendekezwa? Kwa nini tusingekubaliana tu kwamba kwa vile Uingereza na Israel hawana Katiba zilizoandikwa...
Mpaka Mwl anafariki kulikuwa na kibarabara tu cha vumbi cha kushukia ndege. Sijafika Musoma miaka kadhaa, ila nasikia kibarabara hicho sasa hivi ndiyo kinabadilishwa kuwa uwanja wa ndege kwa kukiwekea lami. Inasemekana Chato kunajengwa uwanja wa ndege wa kimataifa kweli? Mwl hakufanya hivyo Musoma.
OK, Mwakyembe alikuwa na ushahidi unaojitosheleza kwa hiyo hakuona sababu ya kumhoji Lowassa! Safi. Balile alikuwa na ushahidi unaojitosheleza lakini alikwenda hatua moja ya ziada hivyo akaamua kumtafuta Mkuu wa Mkoa ili amhoji. Bahati mbaya Mhojiwa alikimbia! Inashangaza Dr wa sheria kuiponda...
Nape ni Mbunge na sasa hivi anawawakilisha vizuri zaidi Wananchi waliompa Uwakilishi. Sasa hivi yuko karibu zaidi na Wapigakura kura wake na anayaona kwa uwazi zaidi matatizo ya Wananchi kwa sababu hayuko "bize" na majukumu ya Uwaziri. Hapa ndiyo hoja ya Mbunge kutopewa Uwaziri inaposadifu.
Nape ni Mbunge na sasa hivi anawawakilisha vizuri zaidi Wananchi waliompa Uwakilishi. Sasa hivi yuko karibu zaidi na Wapigakura kura wake na anayaona kwa uwazi zaidi matatizo ya Wananchi kwa sababu hayuko "bize" na majukumu ya Uwaziri. Hapa ndiyo hoja ya Mbunge kutopewa Uwaziri inaposadifu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.