Jamani rais ni lazima awe na ndege ya kusafiria. Tatizo la nchi kutokuwa na ndege ni tatizo lililotokana na watu ambao sio wazalendo. Hivyo lawama hizi hazitakiwi kwenda kwa rais japo na yeye anayo sehemu kubwa na kuweka dira ya nchi.
njia uliyotumia kutafuta mchumba/mume wa kukuoa siyo za kibiblia hata kidogo! Sikulaumu huenda ni ukosefu wa mafundisho au wewe nit mtoto mchanga kiroho. Nipigie simu 0767006289 ili nikuong9oze kwenye njia ya mungu.
Naungana na Jasusi. tusimshambulie EL. Kwa maoni yangu MCC nzima watu wameichoka wanahitaji mabadiliko ya kweli. Hata yenyewe ikijirekebisha ikawa na nia ya that ya kutumikia wananchi watu wataipa kula.
Mpamba KK
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.