Search results

  1. basa

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Moderators watuanzishie uzi wa TRA
  2. basa

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Itakua KIdata labda anasahisha wenyewe kajifungia chumbani au HRs wapo busy kupika matokeo kwa wasailiwa wanaowataka. HAIWEZEKANI, waondoe utaratibu @sekritarietiyaajira kwa kigezo cha kuchelewesha mchakato, then wao wasahihishe mitihani kwa zaidi ya mwezi moja. Si wangewauliza hata sekritariati...
  3. basa

    Ajira zote za serikali zigawiwe kuanzia ngazi ya kata?

    Haya mawazo tuyapinge, ajira kwenye utumishi wa umma zibaki kuwa za ushindani na zisizo na upendeleo. Tukianza haya mawazo, itaenda kwamba sasa zigawiwe kifamilia(royal families), kikabila, kichama nk Kibaya zaidi hata zikigwiwa kwa kwa familia fulanifulani, bado hazitatosha baada ya muda...
  4. basa

    SoC03 Namna ya kupanga malengo ya fedha za kukusanya TRA ili kuwe na uwajibikaji, sio kila mwaka wanatuambia wamevuka lengo, kwa kujiwekea malengo madogo

    Mwandishi nadhani hajasoma SP ya TRA ambayo anazo hizo projections zote tena si kwa kipindi fulani tu, bali kwa miaka kadhaa mbele. Pia, nikubaliana na ww kwamba kiini cha wapi TRA watakusanya ni matokeo ya Sheria ya Finance inyopitishwa kila mwaka na BUNGE.
  5. basa

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hahahhaha! Na wale wa asali na sukari gulu kuna ;la kujifunza. Mmesikia suala la vijana wadogo wa TRA??? Vijana utumishi wa umma ni kama wito usitegeemee kwenda kuwa tajiri kupitia rushwa.
  6. basa

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kwenye nafasi za wakufunzi lilikuwepo sana mwaka wa jana
  7. basa

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Twitter ni powerful and viral, retweets zingekua kibao, notifications za mama na naibu waziri zikijaa mbona faster jobless wanachomoka toka kwenye magunia ya database
  8. basa

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Tukipata retweets na replies 10k mbona faster wanatoa mkeka wa database
  9. basa

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Vijana wanajaza huku malalamiko, wanaacha kwenda kwenye zile nyuzi kujaza replies na tags kwa Rais na N/Waziri
  10. basa

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Safi nashangaa humu hoja nyingi kule retweets na replies hata kumi hazifiki, mwana wa msoga akiona mentions nyingi angefanya jambo tu
  11. basa

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Nenda sekritariati ya ajira,
  12. basa

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hii inafikirisha sana, Bahati mbaya sana vijana hatuna umoja kabisa
  13. basa

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ufanisi Ufanisi ni Kilio; siku nepotism zikiondoka kwenye hayo mashirika labda utaonekana. "Kuna taasisi nyingi za serikali zinapeleka maombi katika Wakala wa Huduma za Ununuzi (GPSA) lakini muda mrefu GPSA inachukua,nadhani tuangalie sasa kama kuna haja ya kuendelea kuwa nayo, maana...
  14. basa

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    "Kufikia hapa tulipo kuna haja ya kufanya tathimini kama baadhi ya mashirika ya umma yanafaa kuendelea kuwa nayo, yale yanayofaa yaendelee na yasiyo na tija yafutwe. Mashirika mengi yanachuma fedha kutoka serikalini lakini yenyewe haileti fedha serikalini" Rais Dkt. @SuluhuSamia...
  15. basa

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Piga retweet hapa mpaka imfikie acheni kulia machozi ndani ya maji.
Back
Top Bottom