nyota ya Nundu imezimika kwa kasi ya ajabu,huyu mzee ukisoma cv yake utaogopa sijui pepo hili limemtokea wapi,Tanga mnagundu kweli.Mtoa msomi mwenye CV International,ameishia kwenye fedhea ya ubadhirifu.Arudi ulaya sasa,hehehehehehe JK nomaame mTIDO kudadeki.
Taarifa nilizo zipata kutoka kwa mjirani wa Sombetini kuliko misiba,hawa jamaa ni wezi na majambazi maarufu Sombetini
Wanaiba kwenye mpesa,wanakaba watu kweupe na wenyeji wanawafahamu kwa kazi hizo.
Inaelekea polisi wamesha kwenda sana na wana achiwa sasa sijui wameingia anga za watu gani...
huyu jamaa ni hewa,o level atakuwa alifeli na a level hajakanyaga.
Alafu kakusanya certificate kibao ambazo hata TCU hawazitambui,then katoboa BA,inachekesha hii.
Unajua serikali ya CCM ukifuatilia yanayo jiri kila siku,unaweza ukashikwa na uwendawazimu.
Waliniacha hoi juzi usiku wakati mbunge wa nkasi kupitia CCM akigomba na serikali ya chama chake utadhani yeye yuko upinzani.
Kweli CCM haijui kula na vipofu,sasa walewale wanao jua mianya ya kulia hela...
Wabunge wa CCM akiwemo ngugai wamegungua kuwa wananchi wamewaweka kwenye Micriscope,wakijichanganya tu,2015 hawana chao,Nadhani wanajua kilichotokea Arumeru
Ngoja niwakumbushe kigodo
KATIKA KATA 19 NA VITONGOJI VYOTE VILIKUWA CHINI YA CCM,MWANA CDM NASS JOSHUA AKASHINDA UBUNGE.hii inamaanisha...
Tafsiri ya mizigo isiyo bebeka ni ipi?
Mi nadhani uko sahihi kabisa,hela mlizokuwa mnawapa,wamekula na bado hawaridhi,hiyo ndio mizigo isiyo bebeka
Sasa wamekuja cdm ambako wanatakiwa wachangie walichonacho hata kama ni tshs50,inauma hiyo.
tulieni,tulieni,tulieni
Tulia,tulia,tulia
Hilo ni swaga la Mh lema akituliza mzuka wa wana CDM
Arusha ni raha tupu,vijana wanafurshia mno ujio wa wana ccm ndani ya cdm.
Wamasai nawapenda sana,wana msimamo
Akigeuka mmoja kulia,wanageuka wote
Millya ameondoka na wengi
CDM Mpokeeni millya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.