Usijali la fiesta. Kama nia yako ni kwenda havard usikate tamaa. Nenda US kasome bachelor inayoendana na ile unayoitamani ya Havard kwenye university yeyote hata kama ni ya kata na u-uperform vizuri. Hii itakusaidia kuingia kwenye system ya education ya US.Usisome diploma wala ndugu yake na...
Swali zuri. Unaweza kupata PhD bila masters kama ambavyo unaweza kupata masters bila bachelor!. Southampton university kwa mfano wana kitu kinaitwa integrated degree(sio course zote) yaani mtu anaingia kuanza kusoma bachelor ya four years but kiukweli bachelor yake inakuwa ni three years ila...
Wanazalisha na kuuza kuku, bata, mayai, samaki, nguruwe, seafoods etc. Wanapackage vyakula vyao in different forms. Kwa mfano mayai yapo mpaka kwenye gallon! 3 ltrs, 2 lts, 1ltr etc. Kuku, samaki, etc vivyo hivyo katika form mbalimbali but not in litres.Pia wanajihusisha na kilimo cha mazao...
Bado hujaeleweka vizuri. Unasema mmekubaliana na tayari umeshapewa kazi.Umepewaje kazi? kwa mdomo au kwa contract?. kama umesaign contract nafikiri terms ziko wazi na huna haja ya kupaparika as long as wamekwambia watakupigia na kama huwezi kuanza hiyo kazi mpaka wakupe ticket then tulia na...
Duh, Hutaki Unaacha akishakuja tu hali ya hewa nchini na JF huwa inabadilika kwa muda..Ngoja kwanza nikae chini ili nisome nikiwa nimepumzika..Mama watoto lete juice!
Matiko Matare hakuacha kwa hiari ila alifukuzwa baada ya kuongoza mgomo mkubwa wa 1990 uliotikisa nchi kwani ulikuwa una lengo la kumwondoa Mwinyi madarakani. Sikumbuki kama Luhanga ndiye alikuwa VC. But I remember VC alikuwa Mmari. Luhanga ameanza 1991. Matiko alipelekwa kijijini kwao kwa...
Muombe Mungu kwanza akupe ushauri mzuri. Kama umemuomba basi yawezekana ni kupitia hii thread waweza kupata ushauri mzuri ingawa Shetani anaweza kujipenyeza pia. Nakushauri kuwa;
1. Sio lazima ufundishe, yawezekana Mungu hajakupangia hilo na wewe umezuia blessings nyingi kutoka kwake kwa...
Usijali, muombe Mungu atakupatia. Mungu hajawahi kushindwa kitu..Msome Mungu vizuri na umuelewe ili ujue anataka ufanye nini..Angalia hapa chini kuna Tutorial Assistant-ship pale open university.
http://www.out.ac.tz/gallery/announcement/vacancy.pdf
Tumfanye Lowassa awe taasisi sasa maana hata akijikuna utasikia "Lowassa katumia mkono wa kushoto badala ya ule wa kuume alipokuwa anajikuna. Mkewe Regina ashuhudia!!"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.