Hii nchi ngumu sana,yy profesa alifanya mtihani wa kuingia kwenye ajira,
Hili ndo tatizo kuku kuvikwa kilemba,yaani mtihani ndo umeonekana punguza watu kwenye ajira 🤔
Profesa hana jipya,ukiona product hainunuliwi basi punguza uzalishaji wa hiyo product
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.