*TAARIFA KWA WAANDISHI WA HABARI*
Kesho tarehe 26 Machi 2019, Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Ndugu Zitto Kabwe atazungumza na waandishi wa habari.
Muda: Saa tano kamili asubuhi
Mahali: Makao Makuu ya Chama Kijitonyama Dar es salaam.
Waandishi wote mnakaribishwa.
Ado Shaibu, Katibu wa...
Hotuba ya Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Ndugu Zitto Kabwe kwa Viongozi wa Wilaya ya Mkoani, Mkoa wa Kusini Pemba.
Ndugu zangu mliokuwa viongozi wa matawi, kata, majimbo na wilaya wa wilaya ya Mkoani, ninapenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru wananchi wa Pemba kwa kumuunga mkono Maalim...
KUADHIMISHWA SIKU YA WANAWAKE LAZIMA KUIBUE FIKRA ZITAZOMFUNGUA MWANAMKE MINYONYORO:
Historia:
Sikukuu ya kwanza ya Wanawake, inayoitwa "Siku ya Wanawake wa Taifa," ilifanyika Februari 28, 1909, huko New York, iliyoandaliwa na Chama cha Socialist of America kwa maoni ya Theresa Malkiel. Ingawa...
SIASA, FURSA NA HESHIMA
"Mwenezi kuna nini unapata ACT?"
"Wanakupa nini?"
Maswali hayo na mengine mengi ya namna hiyo ninakutana nayo mara kwa mara kutoka kwa vinywa vya wenzangu, hasa vijana. Wengine huenda mbali zaidi: "Mwenezi ni mtu mkubwa Bwana! Tugawane hivyo wanavyokupa ACT" Katika dunia...
Na Zitto Kabwe.
Maamuzi wa kufungia gazeti la Mawio unapaswa kulaaniwa na kila mwanademokrasia. Uhusika wa Marais wastaafu kwenye mikataba ya madini umesemwa na Rais Magufuli Mwenyewe sio Mawio. Hakuna mkataba ulioingiwa bila Baraza la Mawaziri kuidhinisha. Kitendo cha Kamati ya Rais kutuhumu...
Someni na hii ya mwaka 2010
MJADALA WA KUTUNGA SHERIA YA MADINI 2010
Mkutanoni Bungeni!Aprili, 2010
Mheshimiwa Spika,
Napenda kuchukua fursa hii kukushukuru kwa kunipa nafasi ya kushiriki katika kuchangia Muswada huu kama jinsi mwenyewe ulivyoita kwamba ni Muswada wa kihistoria kwa sababu...
Hotuba ya KC Zitto Kabwe - Kijichi
HOTUBA YA ZITTO KABWE,KATIKA KATA YA KIJICHI JIJINI DAR
Ndugu Watanzania
Ndugu Wanatemeke
Ndugu Wanakijichi
HERI YA MWAKA MPYA 2017
Namwomba Mungu, muweza wa yote atupe baraka tele kwenye mwaka huu mpya na kutupunguzia mitihani ya mwaka uliomalizika...
MAJIBU KWA MTATIRO MCHAMBUZI ALIYEJAA MAHABA HADI ANASHINDWA KUTOA FACT NA KUTUTOLEA VITUKO HADI WATOTO WANAULIZA YUPO DARASA LA NGAPI?
Hoja hii hapa ya Kaka yangu Mtatiro ndio inayojibiwa, nimechukua kipande kidogo tu alichoishambulia ACT kuwa imekuwa kikwazo kwa ushindi wa UKAWA na...
USHAURI KWA SERIKALI YA AWAMU YA TANO KAMA INA DHAMIRA YA KWELI KUTAKA KUBORESHA ELIMU NA HATUA ZA KUCHUKUA ZA UBORESHAJI WA ELIMU:
Ili kupanua fursa na kuboresha viwango vya elimu katika ngazi mbalimbali, Serikali inatakiwa kuchukua hatua zifuatazo:
i)Kuwahimiza wazazi na walezi katika...
HITIMISHO
Ndugu waandishi waandishi wa habari,
Tunaomba ushirikiano wenu na umma kwa ujumla ilikupambana na kuinua Elimu yetu na kuondoa kasoro mbali mbali katika Elimu na kuwadhibiti mawaziri na kukomesha kasumba yao ya kila waziri wa elimu anayekuja kuvuruga Elimu yetu aidha kwa makusudi au...
KABURI LA ELIMU KWA WATOTO MASKINI
KUPANDISHA viwango vya ufaulu bila uboreshaji wa elimu ni kuwazika watoto wa kimaskini ili waagane na elimu ili kesho waje kuwa wapambe na watumwa wa watoto wa viongozi wa sasa na wale wa matajiri.
Kabla hamjasimamia mipango yenu, hebu nanyi waleteni watoto...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
KUSIMAMISHWA UANACHAMA NDUGU KHAMIS IDD LILA
NA NDUGU ALI MAKAME ISSA
Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT - Wazalendo) katika kikao chake cha Kamati Maalum ya Zanzibar cha tarehe 19 Februari, 2016 kimepokea taarifa rasmi kuwa aliyekuwa mgombea wa...
KUMTEUA DK MIGIRO BALOZI, MAGUFULI HUTUTANII KWELI?
NA LUQMAN MALOTO
NASUBIRI kauli kwamba uteuzi wa Dk. Asha-Rose Migiro kuwa balozi ilikuwa utani. Naingoja kwa hamu kubwa.
Dk. Migiro awe balozi? Huyuhuyu mama yetu? Ni taarifa za kweli hizi? Mama na wewe umekubali?
Dk. John Pombe Magufuli...
WARAKA WA ELIMU BURE UNAENDELEA KUIMARISHA MATABAKA NDANI YA TAIFA LETU.
Wizara ya Elimu, Sayansi na Ufundi imetoa waraka wa elimu kuhusu elimu ya msingi bila malipo na kutoa orodha ya shule za msingi 11 za Serikali ambazo hazihusiki na utoaji wa elimu bure uliotangazwa na Rais John...
#UzinduziWaKampeni za Mgombea Urais wa chama chama cha ACT Wazalendo utakaofanyika Jumapili, tarehe 30, Agosti 2015.
Eneo: Viwanja vya Zakheem Mbagala
Muda: Kuanzia saa 8: 00 Mchana
UJUMBE KWA WAFANYABIASHARA.
Kama wafanyabiashara tunafanya kazi kwa nguvu na tunapambana katika kazi zetu kutengeneza mustakabali wetu na taifa pia. Kutoka wamiliki kwenda kwa mameneja wenye mitaji mikubwa, kutoka kwa wachuuzi katika mitaa ya Arusha mpaka mashirika makubwa ya Dar es Salaam...
Ujumbe kwa Wanasiasa
Tunayo heshima kubwa katika nchi, kwa ukarimu na uzalendo komavu unaotuunganisha sisi sote ndio maana tumeitikia mwitikio wa kuihudumia nchi. Tunaamini kabisa katika kuihudumia nchi yetu. Tunaendeshwa na mtazamo wa nchi bora na kizazi endelevu zaidi Tanzania. Hatuogopi...
Viongozi wa ACT Wazalendo safarini Ujerumani kwa mwaliko wa chama cha Die Linke
Mwenyekiti wa chama cha ACT - Wazalendo mama Anna Mghwira akiongozana na katibu mkuu Ndugu samson mwigamba na katibu wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa ndugu Venance Msebo leo tarehe 15 julai 2015 wameanza...
UANACHAMA
8. Uanachama wa ACT utakuwa wazi kwa raia wote
(1) Uanachama wa ACT utakuwa wazi kwa raia wote wenye umri wa kupiga kura bila kubagua jinsia, kabila, dini, au hali yoyote.
Kila raia atakayekuwa ameandikishwa kuwa mwanachama wa ACT atapewa kadi ya uanachama itakayoonyesha pamoja na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.