Mimi sioni kama kwenda na mheshimiwa Rais kama ni tatizo,ila kwa nini hiyo fursa ya kuongozana na mkubwa apewe zitto peke yake kila time kwa upande wa CDM?!!!!!!!!!! Na zitto kihistoria "alishajinyea" baada ya kuwapinga wenzake hadharani wakipigania upatikanaji wa katiba mpya. Zitto ni mmoja wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.