Pole sana braza, kwa kifupi huyo mwenza wakao hana
nidhamu na mapenzi ya dhati kwako hawezi kukujibu majibu
kama hayo. kama unamoyo mpana unaweza kuendelea naye
lakini kama moyo wako hauna tundu,tulia kwanza na ufanye
shughuli za maendeleo. Then uombe Mungu atakuonyesha njia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.